• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Ugavi na Manunuzi

Halmashauri hufanya manunuzi ya Serikali kwa kufuata taratibu za manunuzi kama zilivyo ainishwa katika sheria ya manunuzi ya mwaka 2011 na kanuni ya manunuzi ya mwaka 2013.

Kwa utaratibu huo,baada ya kuandaa bajeti ya Halmashauri ,kila idara huandaa mpango wa manunuzi wa idara yake kwa kila mwaka wa fedha,lengo la mpango wa manunuzi wa kila idara ni kuhakikisha kuwa manunuzi ya Serikali yanafanyika kwa kuzingatia kanuni na taratibu za Serikali na pia kuonyesha thamani ya pesa kwa kila bidhaa au huduma iliyotolewa na kupunguza gharama za manunuzi.

Kwa mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa ilikisia kutumia kiasi cha Tzs 7,547,351,843 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa na huduma,kazi za kihandisi,pamoja na huduma za ushauri wa kitaalam.

Katika mwaka huu wa fedha 2016/2017 Halmashauri inatekeleza miradi tisa ya barabara,ujenzi wa jengo la ofisi ya utawala makao makuu ya Halmashauri,na kazi ya ushauri wa kitaalam katika mradi wa maji katika vijiji 57 Wilayani kyerwa.Pia  upande wa afya halmashauri inatekeleza ujenzi wa jengo la wajawazito katika kituo cha afya Nkwenda.


Matangazo

  • Tangazo la Tozo katika Mnada wa Mifugo January 01, 2021
  • Kuitwa Kazini nafasi 27 watendaji wa vijiji May 17, 2018
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA VIJIJI TAREHE 26-27 JUNI, 2020 June 19, 2020
  • Mlipuko wa ugonjwa wa kichaa cha Mbwa May 17, 2018
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • Jaffo, akerwa na kusuasua kwa ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

    January 06, 2021
  • Mnada uliofungwa kwa miaka mingi Kyerwa wazinduliwa

    December 16, 2020
  • Baraza la Madiwani la kwanza kwa mwaka 2020-2025 lafanyika wilayani Kyerwa kwa mafanikio.

    December 03, 2020
  • Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Dunia “mshikamano wa kimataifa tuwajibike kwa pamoja”

    December 02, 2020
  • Tazama vyote

Video

Utekelezaji wa dhana ya viwanda Wilayani Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved