• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Utawala na Rasilimali watu


Idara hii inasimamia na kutekeleza shughuli zake kwa mujibu wa Sheria namba 8 ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2002 pamoja na Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003. Aidha, Idara ya Utawala na Utumishi inatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia miongozo mbalimbali inayohusu masuala ya Utumishi wa Umma.

Idara hii imegawanyika katika makundi makuu mawili ambayo ni  utawala na Utumishi.

Utawala
Wilaya ya Kyerwa ina Tarafa nne (4), Kata (24), Vijiji (99) na Vitongoji (668),aidha Wilaya inalo jimbo moja (1) la Uchaguzi ambalo ni Kyerwa likiwa na Mbunge mmoja wa Kuchaguliwa na Mbunge mmoja wa kuteuliwa.
 
Halmashauri ina madiwani 24 wa kuchaguliwa kutoka kila kata, na madiwani 8 wa viti maalumu. Kwa ujumla kuna madiwani 32 ikiwa ni pamoja na mheshimiwa mbunge 1 aliyepo katika jimbo la Kyerwa.

Kamati za kudumu
Halmashauri inaongozwa na kamati za kudumu tatu,ambazo pia maamuzi yake hujadiliwa na kuamuliwa na Baraza la madiwani.

Kamati ya Fedha,Uongozi,na Mipango
Kamati hii inaundwa na waheshimiwa madiwani pamoja na wakuu wa idara /vitengo wa Halmashauri.Mwenyekiti wa kamati hii pia ndiyo mwenyekiti wa Halmashauri,Mkurugenzi Mtendaji huwa ni katibu wa kikao.
Kamati hii hujadili na kutoa maamuzi/maazimio baada ya taarifa kujadiliwa kutoka kamati nyingine za kudumu na baadae kuziwasilisha katika Baraza la madiwani.Tofauti na kamati nyingine, kamati hii ina vikao vya robo(Kila baada ya miezi mitatu) na vikao vya kila mwezi ili kujadili mapato na matumizi.
Kamati ya Uchumi,Ujenzi,na Mazingira

Kamati hii hujadili na kutoa maamuzi taarifa zinazotoka katika idara ya mipango,ujenzi na zimamoto,ardhi na mazingira,na TEHAMA.Wajumbe wa kamati hii ni wataalamu wa Timu ya Menejimenti (CMT) na waheshimiwa Madiwani.

Kamati hii hukaa vikao vyake kila baada ya miezi mitatu isipokuwa kama kuna dharura .

Kamati ya Elimu,Afya na Maji
Kamati hii hujadili na kutoa maamuzi juu ya taarifa za utekelezaji wa idara ya Elimu Msingi na Sekondari,Idara ya Afya na Ustawi wa jamii,Maji, na Maendeleo ya jamii.
Wajumbe wa kamati hii ni wataalamu wa Timu ya Menejimenti(CMT) na waheshimiwa Madiwani.Kamati hii pia hukaa kikao kimoja kila baada ya miezi mitatu.
 
Mbali na kamati hizi kuna kamati nyingine mbalimbali katika Halmashauri kama vile kamati ya Ardhi na Mazingira, kamati ya UKIMWI, na kamati ya Maboresho.
 
Idara pia ina kitengo vya Usafirishaji chenye jukumu la kuratibu matengenezo/ukarabati wa magari na vyombo vingine vya moto. Pia kutoa vibali vya kutoka au kuingia gari katika himaya ya halmashauri,kudhibitisha utumiaji wa mafuta kwa vyombo vya moto kulingana na umbali gari litakaotembea.

Utumishi
Halmashauri ina watumishi wenye sifa na uweledi mkubwa wa kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa manufaa ya taasisi na jamii. Hata hivyo ili kulinda ufanisi wa watumishi Idara imekuwa ikitoa mafunzo ya ndani na nje pale inapobidi kwa watumishi wa Halmashauri ili kuwajengea uwezo kupitia mpango wa mafunzo/masomoni wa kila mwaka wa fedha.
Aidha Halmashauri ina watumishi wanaofanya kazi Makao makuu ya Wilaya na watumishi ambao vituo vyao vya kazi ni katika kata.

Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KYERWA December 14, 2022
  • Kuitwa kwenye usahili nafasi za Udereva Daraja la II utakaofanyika kuanzia tarehe 20/11/2022 mpaka tarehe 21/11/2022 November 14, 2022
  • Tangazo la Nafasi ya Udereva TGS B Nafasi 02 -Limerudiwa Mwisho tarehe 18/08/2022 August 11, 2022
  • Mlipuko wa ugonjwa wa kichaa cha Mbwa May 17, 2018
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • Bilioni 1.2 zajenga vituo 2, na Zahanati 2 Kyerwa

    January 09, 2023
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru Wilayani Kyerwa

    October 06, 2022
  • "Hatutalala,hatutapumzika kuhakikisha ugonjwa wa Ebola hauingii Nchini " Waziri Ummy Mwalimu

    October 05, 2022
  • Mkurugenzi akerwa na uvamizi wa maeneo ya vituo vya wakulima

    September 26, 2022
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved