• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Ardhi na Maliasili

Wilaya ya Kyerwa ina jumla ya vijiji 93.Vijiji 36 vimepimwa na  vina vyeti (Village Certificate). Asilimia kubwa ya wakazi wa Wilaya hii wanaishi katika maeneo ambayo hayajapimwa.Shughuli za matumizi bora ya ardhi bado hazijafanyika kwa kiwango kikubwa kwa kufuata sheria,kanuni,na taratibu za uendelezaji wa ardhi.

Idara hii inasimamia na kutekeleza sera ya ardhi ya mwaka 1995 pamoja na sheria ya Ardhi namba 4 ya mwaka 1999 na sheria ya Ardhi ya vijiji namba 5 ya mwaka 1999, Sheria ya Mipangomiji Na.8 ya mwaka 2007, aidha kitengo cha Maliasili kinasimamia utekelezaji wa sera ya Taifa ya misitu ya mwaka 1998 na sheria ya misitu namba 14 ya mwaka 2002,sera ya Taifa ya ufugaji nyuki ya mwaka 1998 na sheria ya nyuki namba 15 ya mwaka 2002 na sera ya wanyamapori ya mwaka1998 na sheria ya wanyamapori namba 16 ya mwaka 2002.

Usimamizi wa matumizi bora ya ardhi vijijini na hifadhi ya mazingira inapaswa kufanywa kwa kutumia sera na sheria za ardhi na misitu ili kuwa endelevu na wenye manufaa kwa rasilimali za nchi.


Upimaji Ramani

Kitengo hiki kinashughulika  na uuandaaji wa ramani pamoja na kupima mashamba na viwanja i lengo ikiwa ni kutekeleza sera ya ardhi ya kuwapatia wananchi makazi bora.

Halmashauri kwa sasa imeshaandaa michoro  ya Mipangomiji katika eneo la makao makuu ya Wilaya (Rubwera)  na kupima  jumla ya viwanja 1255 vya matumizi ya  makazi,Biashara, Makazi/biashara, Viwanda,Taasisi pamoja na viwanja vya Matumizi ya Umma.

Uthamini wa ardhi

Halmashauri imekuwa ikithaminisha ardhi pale inapobidi ili kutoa haki kwa wananchi wakati wa fidia ili kupisha miradi ya maendeleo kutekelezwa katika Wilaya.Pia imekuwa ikitoa ushauri wa kitaalamu kwa wananchi pale wanapokuwa wakihitaji huduma za uthamini wa ardhi zao kwa madhumuni  tofautitofauti.

Wanyamapori na Misitu

Halmashauri imekuwa ikitoa Elimu kuhusu uhifadhi wa mazingira.Kupitia elimu hiyo uhifadhi wa vyanzo vya maji umekuwa ukifanyika kwa kupanda miti rafiki ya mazingira kama mitoma(Ficus spp) na mikuyu (Ficus thoringii).Kupitia elimu hii pamoja na uhamasishaji, wadau wengi kwa sasa wanayo mashamba yao ya kupandwa hivyo kupunguza wimbi la ukataji wa miti ya asili.

Pia Wilaya ya Kyerwa ina mapori mawili ya akiba ya wanyamapori.Mapori hayo ni pamoja na Rumanyika Orugundu,na Ibanda.Mbuga hizi zina wanyama wengi kama vile Pofu,Nyemera,Mamba,Viboko,Twiga,Simba,Kuro,Nyati,Tembo,na Ndege wa aina mbalimbali.Mapori haya ya akiba mbali na kuwa kivutio kwa Watalii na Wananchi wanaopenda kuangalia wanyamapori,mito na mabonde,vilevile hutumika kwa shughuli za uwindaji wa kitalii.Taarifa kutoka kwa wawindaji bingwa pamoja na menejimenti ya Pori la Akiba Ibanda inaonesha kuwa kuna densite kubwa ya chui kwenye Pori la Ibanda ikilinganishwa na mapori mengine ya Akiba hapa nchini.

Nyuki

Ufugaji wa Nyuki katika Wilaya ya Kyerwa unaendeshwa kwa njia ya kiasili.Hata hivyo Halmashauri inaendelea kutoa elimu juu ya ufugaji wa Nyuki kwa kutumia mizinga ya Kisasa katika Kata za Rukuraijo na Rutunguru.

Wafugaji wamekuwa wakihamasishwa kujiunga kwenye vikundi vidogo vidogo vya ufugaji nyuki ili wawezeshwe kupata misaada na mikopo kwa urahisi na hivyo kujiongezea kipato.

Matangazo

  • WALIOCHANGULIWA KIDATO CHA KWANZA - 2023, HALMASHAURI YA KYERWA December 14, 2022
  • Kuitwa kwenye usahili nafasi za Udereva Daraja la II utakaofanyika kuanzia tarehe 20/11/2022 mpaka tarehe 21/11/2022 November 14, 2022
  • Tangazo la Nafasi ya Udereva TGS B Nafasi 02 -Limerudiwa Mwisho tarehe 18/08/2022 August 11, 2022
  • Mlipuko wa ugonjwa wa kichaa cha Mbwa May 17, 2018
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • Bilioni 1.2 zajenga vituo 2, na Zahanati 2 Kyerwa

    January 09, 2023
  • Ujio wa Mwenge wa Uhuru Wilayani Kyerwa

    October 06, 2022
  • "Hatutalala,hatutapumzika kuhakikisha ugonjwa wa Ebola hauingii Nchini " Waziri Ummy Mwalimu

    October 05, 2022
  • Mkurugenzi akerwa na uvamizi wa maeneo ya vituo vya wakulima

    September 26, 2022
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved