• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Elimu Sekondari

Utoaji wa huduma ya elimu katika Wilaya ya Kyerwa uazingatia sheria,sera,na miongozo mbalimbali kama vile sera ya Elimu na mafunzo ya mwaka 1996,Sheria ya Elimu Na.25 ya mwaka 1978 na marekebisho ya sheria Na.10 ya mwaka 1995.Wilaya inatambua kuwa watu wenye elimu ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa letu na haki ya kupata elimu inatambulika kisheria katika katiba yetu.


Wilaya ina jumla ya shule za sekondari 27 ambapo kati ya shule hizo,shule zinazomilikiwa na serikali zipo 21,za watu binafsi ni 4,na za madhehebu ya dini ni 2.Wilaya ina shule moja tu ya kidato cha tano na sita inayoitwa Shule ya sekondari Kaisho inayomilikiwa na dhehebu la dini.

Katika sekta ya Elimu sekondari,Wilaya imefanikiwa kutimiza yafuatayo:-

  1. Udahiri wa wanafunzi kidato cha  kwanza umeongezeka kutoka asilimia 55.37 mwaka 2014 hadi kufikia asilimia 67.5 mwaka 2015.
  2. Vyumba vya madarasa vimeongezeka kutoka 190 mwaka 2014 hadi 207 mwaka 2015,lengo ni kuwa na vyumba vya madarasa 336,ongezeko hili ni asilimia 61.6.Wilaya inazo jumla ya hosteli 9 mpaka sasa ambazo zinamilikiwa na serikali.
  3. Idadi ya walimu imeongezeka kutoka 193 mwaka 2014 hadi 363 mwaka 2015 sawa na ongezeko la asilimia 53.2.
  4. Idadi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita imeongezeka kutoka kutoka 7,018 mwaka 2014 hadi 7,078 mwaka 2015
  5. Kiwango cha ufaulu kwa kidato cha nne kimeongezeka kutoka asilimia 43 mwaka 2013 hadi asilimia 58 mwaka  2014.Aidha ufaulu wa kidato cha sita umeongezeka kutoka asilimia 68 mwaka 2013 hadi asilimia 72 mwaka 2014.
  6. Idadi ya nyumba za walimu imeongezeka kutoka 48 mwaka 2013/14 hadi nyumba 52 kwa mwaka 2015 sawana asilimia 92.31.Idadi ya madarasa imeongezeka kutoka madarasa 190 mwaka 2013/14 hadi kufikia madarasa 207 mwaka 2014/2015 sawa na asilimia 91.79.Majengo ya utawala yapo 12 ambayo ni sawa na asilimia 44.44 na mahitaji,mahitaji ni kuwa na majengo 27 kwa shule zote za serikali na binafsi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUPANGISHA VISIWA VYA OMWIZINGA (NYAKAZINGA NA IZINGA) NA FORONGO August 26, 2023
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA MJI WA BIASHARA NKWENDA MAENEO YA STENDI MPYA YA MAGARI September 19, 2023
  • Kuitwa kwenye usahili nafasi za Udereva Daraja la II utakaofanyika kuanzia tarehe 20/11/2022 mpaka tarehe 21/11/2022 November 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USALI June 23, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WAZIRI MKUU AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI KWA VIONGOZI WA MKOA WA KAGERA

    September 22, 2023
  • DC MSOFE: TUACHANE NA DHANA POTOFU JUU YA CHANJO

    September 15, 2023
  • DKT. RWEZIMULA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA VETA KYERWA

    September 14, 2023
  • DED KYERWA APOKEA VIFAA VYA MICHEZO

    September 09, 2023
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved