• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Kilimo na Umwagiliaji

Wilaya ina hekta  162,000 ambazo zinafaa kwa Kilimo, hekta  83,270.5 ndizo zinalimwa kwa sasa. Mazao yanayozalishwa kwa wingi ni pamoja na Ndizi, Maharage, Mahindi, Viazi vitamu, Viazi Mviringo, Ulezi, Mtama, Uwele, na Kahawa.

Mazao makuu ya Chakula ni Ndizi, Mahindi, Maharage, na Viazi ambapo Kahawa, Mtama, na Ndizi Kali ni mazao ya Biashara. Kilimo kinakisiwa kuchangia 75% kwenye pato la Wilaya. Wananchi 85% wamejiajiri kwenye shughuli za kilimo.

Umwagiliaji

Kwa sasa Kilimo cha Umwagiliaji kinafanyika sehemu chache sana na kwa wakulima baadhi tu. Kwa kuliona hili tatizo Halmashauri kupitia idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika imeandaa andiko la mradi "District Investment Profile" ambalo limeainisha maeneo yanayofaa kwa uwekezaji wa Kilimo Cha Umwagiliaji. Maeneo/Vijiji/Kata yaliyopo kwenye mpango wa matumizi haya ni pamoja na Ziwa Karenge, Ziwa Rushwa, Ziwa Rwere-Nkwenda, Mto Kagera, Safu za milima ya Kyerwa, na Bonde na Sina.

Hali ya chakula

Hali ya Chakula Wilaya ya Kyerwa kwa sasa inaridhisha kutokana na wakazi wanaostahili kuwepo. Kiasi kinachozalishwa kwa sasa kingekuwa zaidi endapo kusingelikuwepo na ugonjwa wa Mnyauko unaoshambulia zao la Mgomba (Unyangano).


Matumizi ya zana za Kilimo

Wilaya kwa sasa haina Matrekta ya kutosha kwa ajili ya Kilimo hivyo kufanya wakulima walio wengi kutumia jembe la mkono. Katika kulikabiri hili Wilaya imeelekeza jitihada za makusudi kuwahamasisha wakulima binafsi kujikita katika ulimaji wa kutumia wanyama kazi kama Ng'ombe wa maskai na jembe la Plau. Pia Halmashauri inahamasisha wakulima kujiunga katika Vikundi ili kujenga mazingira mazuri ya kupata mkopo nafuu wa Matrekta kupitia SUMA JKT.


Juhudi za Halmashauri katika kuendeleza sekta ya Kilimo

Kutokana na Kilimo kuwa tegemeo la kiuchumi kwa wananchi waliowengi Wilayani Kyerwa, Serikali kupitia Halmashauri imejipanga kuboresha yafuatayo ili kuinua uzalishaji wa mazao ya kilimo:-

  1. Kusimamia na kuratibu shughuli za Pembejeo za Kilimo Wilayani.
  2. Kuendelea kupokea taarifa za mwenendo wa Pembejeo toka Vijiji nufaika.
  3. Kukagua na kusimamia Wagani katika Vijiji na Kata.
  4. Utekelezaji na uendelezaji wa zao la Kahawa kwa kufuata mnyororo wa thamani katika Vijiji vya Rukuraijo, Rutunguru, na Omukagando.
  5. Kudhibiti visumbufu vya mimea (Unyangano).
  6. Kuandaa shamba darasa kwa ajili ya kudhibiti unyanjano (BXW).
  7. Kuhakikisha Wakulima wanapata Pembejeo kwa wakati.
  8. Wagani kupatiwa vitendea kazi kwa wakati kama vile usafiri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved